Andika jawabu linalofaa katika nafasi iliyoachwa.
1. Mungu wa binadamu alikuwa nani.  
         
2. a) Ni mnyama aliyechangia sana kifo kwa.   
         
b) Taja sifa tatu zinazojitokeza za mnyama huyo.      .
         
3. Kwa nini mungu akigadhabishwa na binadamu.
         
4. Kwa nini hadithi hii ni kisa asili.