Andika jibu sahihi katika pengo kwa kurejelea viwakilishi vilivyo mabanoni.
1.  imemea pale pale.(-ingine).
         
2.   aweza kuchaguliwa.(-o-ote).
         
3.   walifurahi.(-ote).
         
4.  zilijaa nyufa.(-ingine).
         
5.  umeanguka bila kukatwa na mtu.(-enyewe).