nyuma
jaribu tena
hakikisha
Taja matumizi ya kisarufi ya neno ulilopigiwa mistari katika sentensi zilizopewa.
(i)
Hima
yake inamfaidi
(ii) Kazi ifanywe
hima
.
(iii) Alivaa
bali
akateremka
.
(iv) Aliteteza
bali
hakuanguka
.
(v)
Mzee
anapasa kuheshimiwa
.
(vi) Mtu
mzee
anastahili heshima
.
(vii)
Alifahamu
yema kazi yetu
.
(viii)
Fahamu
zake zilivurugwa na
.
(ix) Mtoto
wangu
amepita mtihani
.
(x)
Wangu
amepita mtihani
.