Jaza kama kauli zifuatazo zinaashiria UMUHIMU au SIFA za maagizo.
a) Maagizo huandikwa kwa herufi kubwa    .
         
b) Maagizo hudumisha nidhamu ya utendakazi    .
         
c) Maagizo huambatana na michoro    .
d) Maagizo huelekeza jinsi ya kutenda jambo ipasavyo    .
e) Maagizo hutumia lugha rahisi    .
f) Maagizo huepushia mtu madhara ambayo yangempata    .
g) Maagizo huorodhesha hatua mbalimbali zinazopaswa kufutwa    .
h) Maagizo huwa katka maandishi au usemi    .
i) Maagizo hupitisha ujumbe kwa kifupi    .
j) Maagizo huwekwa wazi ili yaonekane na yasizue utata    .