|
Chagua vitenzi vishirikishi vipungufu mwafaka kujaza pengo:(angali, si,yu,ni, ingia, tu,ana,yumo
a) Mkulima shambani.
b) Huyu mwimbaji mashuhuri.
c) Walimu sebeluni.
d) Mwanafunzi kalamu.
e) Wakulima wazembe ni wenye bidii.
|