|
1) Tambua viunganishi katika sentensi hizi.
a) Ametupasha ukweli ingawa simwamini. .
b) Japo aliongea kwa sauti hakuna aliyesikia.
c) Alipita mtihani ijapokuwa alikuwa mgonjwa.
d) Nilifanya kila juhudi ila yeye hakutaka kurudi kusoma tena.
e) Si vizuri kuwadharau walimu namna hiyo.
|