Tumia viunganishi mwafaka kuunganisha sentensi hizi: japo, lakini, namna, ijapokuwa, ila, wala, ingawa, kwa kuwa.
a) Husoma bila miwani    yeye ni mzee.

b) Basi linakwenda vizuri   lilipata panchari jana.

c) Wanasherehekea  mjukuu wa kwanza amezaliwa.

d) Musa an apes nyingi    hawajibiki nyumbani.

e) Ni mrembo   hana mwingiliano mwema na watu.