Tumia neno mwafaka kujaza pengo. (angali, kwa, wala, ndiye, ikiwa).
a) Si mrefu     si mfupi.

b)    utasoma vizuri nitakupa zawadi.

c) Sitaki wali    chapati.

d) Hutapita mtihani     utaendelea kuzembea kazi.

e) Siendi Kisumu    Mombasa badala yake nitaenda Mulala.