|
Tumia neno mwafaka kujaza pengo. (walakini, wala, labda, ila).
a) Vijana hawa sharti waadhibiwe; hawakusoma kuandika chochote.
b) Ana uwezo wa kufanya kazi anamtegemea nduguye.
c) Baada ya kunyeshewa na mvua hiyo kubwa ataugua homa ya mapafu.
d) Hebu mpe dawa pata nafuu.
e) Rehema ana nguo maridadi ina mashimo.
|