|
Oanisha neno na maana yake:-
Aina ya chombo/ zana za kufanyia kazi |
|
|
Tamko la kukanusha |
|
|
Sehemu ya mmea inayochanua |
|
|
Lakini, ingawaje hata hivyo |
|
|
Kutia chakula kinywani na kumeza |
|
|
Dosari/kasoro |
|
|
Toa uhai |
|
|
Tamko linaloonyesha mshangao |
|
|
U'a
Ua
A'la
Ala
La'
La
Wala'kini
Walakini |
|