nyuma
jaribu tena
hakikisha
Chagua jibu mwafaka kati ya yale uliopewa kujaza pengo.
1. Tofauti kati ya shadda na kiimbo ni kuwa shadda huzingatia mkazo katika
.ilhali kiimbo huzingatia mkazo katika
.(silabi, sentensi: Sentensi, silabi: fungu la maneno, fungu la sentensi: fungu la sentensi, fungu la maneno)
2. Kiimbo na shadda ni muhimu katika mawasiliano kwa kuwa ;
(a) Shadda hutuwezesha kujua
anayodhamiria msemaji katika neno
.(maana , anapotamka : kubainisha , sentensi)
(b)Kiimbo hutuwezesha
anacholenga kuwasilisha mzungumzaji katika
.(maana , anapotamka : kubainisha , sentensi)