nyuma
jaribu tena
hakikisha
Chagua neno linalofaa kati ya yale uliyopewa katika mabano na ujaze pengo ili kukamilisha sentensi zifuatazo.
1.
la njaa limekumba nchi yetu.(Paa,Baa)
2. Ukiwa na pesa
mkutanoni(janga,changa)
3.Asiyekujua
(hakuthamini,hakudhamini).
4.Kupanda mchongoma
(kushuka, kusuka) ndio ngoma.
5.Lo! Muujiza ng'ombe ame
mwanambuzi(saa, zaa).
6.Mtungi umepasuka na petroli yote
(imevuja, imefuja).