nyuma
jaribu tena
hakikisha
Onyesha kipande cha kwanza na kipande cha pili katika methali zifuatazo, andika majibu yako kwenye nafasi ulizopewa.
i. Vita havina macho
ii. Chovya chovya humaliza buyu la asali
iii. Kuteleza si kuanguka
iv. Chururu si ndo ndo ndo
v. Ngoja ngoja huumiza matumbo
vi. Mwenye macho haambiwi tazama