1. Bainisha mzizi katika vitenzi vifuatavyo:-
-Wanacheza    
-Anakufuata    
-Ninakupenda    
2. Onyesha viambishi awali katika vitenzi hivi:-
-Anakuangalia    
-Vinasomwa    
-Kimeiva    
3. Dhihirisha viambishi tamati katika vitenzi hivi:-
-Wanaangaliana    
-Ameangukia    
-Vimepatikana