Chagua kivumishi kifaacho katika sentensi hizi
1. Maji         yamemwagika(meupe, machafu, matatu)
    
2. Chakula        kimeisha(kitamu, chambamba, kirefu)
    
3. Wanafunzi        wamefika(mmoja, mbaya, wengi)
    
4. Ng'ombe         amechinjwa(nono, mnono, mnene)