Kamilisha sentensi zifuatazo kwa kutumia kiambishi sahihi cha upatanisho wa kisarufi:-
                   
i.Ulinzi mkali   tahitajika wakati wa maonyesho ya ukulima.
ii. Marashi hayo  nanukia vizuri.
iii.Sukari   liyopo haibomoki  nawatosha nyote.
iv.Kucheza kwa vijana wetu   liwavutia watu wengi.
v.Pale ndipo   lipomwagwa takataka.
vi.Kule    nakolimwa  nahitaji kupandwa mbegu za mchicha.
vii.Mle   nakohamia  nataka kutakaswa.