Chagua jibu sahihi kati ya yale uliyopewa kujaza pengo katika sentensi zifuatazo.
                   
1. Uadilifu  nahimizwa shuleni.   a).u b).i c).m
2. Maji   mechafuka sana.   a).i b).zi c).ya
3. Theluji   nayeyuka.  a).u b).i c).a
4.Kusoma   nakofurahisha kunafaa.   a).i b).ku c).ya
5. Mahali   lipofagiliwa pa mkutano ni hapa.   a).ku b).i c).pa
6. Mahali   nakotaka chakula cha msaada ni huku.   a).ku b).mu c).pa
7. Mahali wanamosomea wanafunzi   napendeza.   a).ku b).m c).pa