Kamilisha sentensi zifuatazo kwa kujaza viambishi awali vinavyofaa.Andika jibu lako kwenye nafasi uliyopewa.
                             
1. Mwanafunzi   lipongezwa    lipofaulu katika mahojiano na wazazi wake.  
2. Wanafunzi   lipongezwa    lipofaulu katika mahojiano na wazazi wao.  
3. Kifurushi   lichoibwa    mepatikana.  
4. Vifurushi   livyoibiwa    mepatikana.  
5. Msitu   nafaa    hifadhiwe.  
6. Msitu   nafaa    hifadhiwe.  
7. Jino   lilooza   mengolewa.  
8. meno   liyooza    mengolewa.