Chagua kiambishi mwafaka ili kujaza pengo:-
                   
1. Serikali itakabiliana vilivyo na ugonjwa   naoua mifugo(a,i,u)
2. Serikali zitakabiliana vilivyo na magonjwa   nayoua mifugo(zi,ya,i)
3.Nyumba (umoja)   kijengwa vizuri haibomoki(a,i,zi).
4.Nyumba (wingi)   kijengwa vizuri hazibomoki(zi,wa,ya).
5. Ulimi   nawatia wengi matatani(i,u,zi)
6. Ndimi   nawatia wengi matatani(zi,ya,i)