Ngeli ya u

Ngeli hii hujumuisha nomino zinazorejelea vitu visivyoweza kuhesabika kama vile wema, ujinga, uji, udongo. Kwa kuwa vitu hivi haviwezi kuhesabika, kiambishi cha upatanisho wa kisarufi huwa U.

Uzembe darasani utakufanya uporomoke.