nyuma
jaribu tena
hakikisha
Taja kama ni kweli au la.
Kweli
La
a) Mhutubi anapaswa kuchekacheka anapohutubu
>>
>>
b) Ukakamavu ni sifa moja ya mhutubi mzuri
>>
>>
c) Mhutubi ana uhuru wa kutumia lugha atakavyo
>>
>>
d) Hotuba lazima iwe ndefu
>>
>>
e) Hotuba nzuri huwa na ujumbemaalumu
>>
>>
kijani:jibu sahihi;
nyekundu:umenoa;
bluu:hakikisha;