nyuma
jaribu tena
hakikisha
Chagua la au kweli kwenye sentensi zifuatazo.
a)Lugha inayotumika katika mazungumzo haitegemei muktadha
Kweli
La
b)Mazungumzo huandamana na hisia
Kweli
La
c)Mazungumzo hayachukui muundo wa tamthilia
Kweli
La
d)Mazungumzo huwa na sehemu tatu kuu: Utangulizi, mwili, na hitimisho.
Kweli
La
e)Wahusika katika mazungumzo huongea bila kukatizana kauli
Kweli
La
kijani:jibu sahihi;
nyekundu:umenoa;
bluu:hakikisha;