nyuma
jaribu tena
hakikisha
Jibu maswali yafuatayo kwa kujaza pengo kutoka kwa orodha uliyopewa. (kuburudisha, kujasirisha, kizalendo, husifiwa, hukashifiwa)
a) Nyiso huwa na umuhimu wa
b) Nyimbo za
huleta umoja.
c) Mojawapo wa dhima za nyimbo ni
d) Matendo maovu
na nyimbo katika jamii