nyuma
jaribu tena
hakikisha
Jaza nomino zifaazo katika nafasi zilizoachwa. ( kuimba, hasira, Mombasa, mkungu , marashi, samaki
a)Alipandwa na
alipochafuliwa nguo yake.
b)
aliyevuliwa ni mkubwa.
c)Umejirashia
gani?
d)
kwake kulitutumbuiza.
e)Mama alienda sokoni akaja na
wa ndizi.