Andika jibu sahihi kutoka kwa orodha iliyofuata. (hadi,kabla ya, baada ya,tangu )
i)Mwanafunzi aliadhibiwa kwa kufika    kengele kulia.
         
ii)Tulikesha    asubuhi.
         
iii)Si vizuri kuolewa    kumaliza shule.
         
iv) Mtoto hajalala    asubuhi.