Jaza mapengo kwa kuvuta na kupachika jibu sahihi kutoka kwa maneno uliyopewa chini ya zoezi:-
i) Niliota jua |
|
|
ii) Mwanariadha mshindi alibebwa |
|
|
iii) Nitafika Nairobi |
|
|
iv) Alianza maisha |
|
|
v) Yeye hulia |
|
|
vi) Alipita mtihani |
|
|
vii) Mwalimu wetu alizaliwa |
|
|
viii) Nyanya alisoma |
|
|
ix) Babu amefika |
|
|
x) Rehema alijikaza |
|
|
Jana asubuhi
Juu juu
Kesho mchana
Upya
Kila siku
Vizuri
Kitambo
Polepole
Sasa
Kisabuni
|