Tazama video kuhusu namna ya kutayarisha keki.Vuta jibu sahihi na kulibwaga mahali panapofaa:
1. Taja viungo vinne vinavyotumiwa kutayarisha keki |
|
|
|
|
|
2. Taja hatua ya kwanza ya kutayarisha keki |
|
|
|
3. Nini umuhimu wa sukari katika kutayarisha keki |
|
|
|
4. Keki hutayarishwa kwa njia gani ya upishi |
|
|
|
5. Keki huliwa kama |
|
|
|
Unga wa ngano
Maziwa
Sukari
Hamira
Kuchanganya viungo
Kuipa keki ladha tamu
Uokaji
Asusa
|