Soma dondoo lifuatalo kisha jibu maswali uliyopewa:-     
.......kwa kweli hakuna kiongozi kama mimi. Mkinichagua mtapata maji katika nyumba zenu, barabara zote zitasakafiwa na dawa zitajaa hospitalini. Nani asiyenijua mimi katika kata hii? Kwa vile mwacha mila ni mtumwa, mimi nitahakikisha utamaduni wetu utadumishwa. Chagua Tumbo Tele, Chagua maendeleo!
1. Mchezo wa kuigiza ni    
(mazungumzo na majibizano, mahojiano na majibizano,majibizano na utendaji)
         
2. Maigizo yanafanyika wapi?    
(shuleni, nyumbani, ofisini)
         
3. Maneno yaliyobanwa katika mchezo yana umuhimu gani?    
(kuelekeza utendaji, kuwapumbaza wahusika na wanachofanya, kufanya mchezo uvutie)
         
4. Sentensi katika mchezo huu ni    
(nusu nusu, fupi fupi.ndefu ndefu)
5. Mwandishi anaelekea kukashifu nini katika mchezo huu?    
(kuongea kwa simu, kuwa na marafiki,kuvunja sheria za shule)