Jaza pengo kwa kuchagua kivumishi sahihi kutoka kwa vile vilivyowekwa kwenye mabano.
1.Chakula     kimepikwa.(kitamu, tamu)
         
2.Pahali    pamechafuliwa.(pake, kwangu)
         
3.Mbwa    ni wa mjomba(hii, huyu)
         
4.Miti    imeangushwa na upepo.(nyingi, mingi)
         
5.Mama    amekuja.(safi, msafi)
         
6.Kalamu    imepotea .(changu, yangu)
         
7.Vitabu     vimeraruka.(vile, zile)
         
8.Miguu      ni michafu .(zenu, yenu)