nyuma
jaribu tena
hakikisha
Jaza pengo kwa kuchagua kivumishi sahihi kutoka kwa vile vilivyowekwa kwenye mabano.
1.Ni mwalimu
aliye mgeni.( yupi, mgani)
2.Sukari
mpishi imemwagika.(za, ya)
3.Uso
ndio unaoonyesha furaha(kile kile, uu huu)
4.Unataka maembe
?( ngapi, mangapi)
5.Sauti
mwimbaji inapendwa.(za, ya )
6.Sababu
ndizo zilizomfanya aachishwe kazi.( zizo hizo, iyo hiyo)