Andika jibu mwafaka kwenye pengo kutoka kwa orodha ifuatayo. (kinginecho, mwenye, mengine, kokote, chote, lenyewe)
1. Mwanafunzi     bidii hufanikiwa maishani.
         
2. Jino    linauma.
         
3. Mtoto alikula chakula    .
         
4. Mambo    huudhi.
         
5. Kuimba    hakuruhusiwi.
         
6. Alinipa kikombe kilichooshwa na