Tambua kwa kuandika katika nafasi iliyoachwa wazi aina za vishazi vilivyokolezwa wino.
a) Mwanafunzi aliyefeli mtihani amepewa ushauri.  
         
b) Viongozi wengi wangalikuwa waadilifu, vijana wengi wasingalipotoka  
         
c) Firigisi la kuku halikupikwa na mama lililiwa nap aka.  .
         
d) Shule zimefungwa na wanafunzi wamekwenda makwao.
         
e) Ungekuwa mwanafunzi, ungeajiriwa kazi hiyo.