Jaza nafasi ya mwanafunzi kwa kukanusha usemi wa mwalimu.
Mwalimu: Ukisoma vitabu vingi utaelewa vizuri.
Mwanafunzi:
Mwalimu: Amekuwa akifanya mtihani tangu Jumatatu.
Mwanafunzi:
Mwalimu: Akikubali Mungu hakuna wa kuzuia.
Mwanafunzi: