Chagua jibu sahihi kutoka kwa maneno yaliyo mabanoni
 
1. Wasifu ni masimulizi kuhusu mtu na huandikwa na  (mtu mwenyewe/mtu mwingine).
2. Aghalabu wasifu huzungumzia sifa   .(nzuri/mbovu/zozote).
3. Katika kuandika wasifu, mwandishi huzingatia nafsi ya  (chuku/tatu/kwanza).
4. Msomaji anaweza kupata kinachozungumzia kupitia kwa matumizi ya  (taswira/mvuto).
5. Wasifu husoma katika  (sherehe maalum/sokoni).